BRENDA AELEZA MAHUSIANO YA HOTUBA YA LISSU NA GHASIA ZA OKTOBA 29
SHAHIDI wa utetezi kesi ya uhai inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, Brenda Rupia, amekubaliana na upande wa Serikali kwamba vituo au karatasi za kupigia kura, mali na hata kukata vidole vya waliopiga kura kumaliza uchaguzi au kuwafanya wananchi wengine wasiingie katika mchakato wa kupiga kura. Kauli hiyo ilitolewa Septemba 9, 2026, wakati Wakili wa Serikali Mkuu, Nassoro Katuga, akimhoji Brenda katika madodoso yaliyolenga kufafanua maana na athari za msimamo wa kuzuia uchaguzi uliokuwa ukihusishwa na Lissu na CHADEMA kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Katuga alimuuliza Brenda kuwa kama vituo vya kuchota karatasi za kupigia kura na kuwa kitendo cha kuzuia uchaguzi, shahidi akajibu, “Ni sahihi.” Alipoulizwa kama majibu mali kuleta kuvuruga amani na hatimaye hatimaye uchaguzi, Brenda pia alikubali. Aidha, alikubali kuwakata vidole vya watu waliopiga kura na kuwatisha wengine wasiende kupiga kura na hivyo kuzuia uchaguzi usifanyike. Katika madodoso hayo, Katuga p...