ALEX MSAMA AJITOSA KUMRITHI JERRY SLAA UKONGA.
Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM
MKURUGENZI wa Msama Promotion Alex Msama amechukua fomu ya kuomba ridhaa kugombea Ubunge katika Jimbo la Ukonga kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)katika uchaguzi Mkuu Oktoba Mwaka huu.
Msama amekabidhiwa fomu hiyo mapema leo Juni 29,2025 na Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ilala, Sylvester Yaredi.


Comments
Post a Comment