HAPPYNESS MALYA AJITOSA UDIWANI VITI MAALUMU
KATIBU wa Shina Kigezi chini Kata ya Buyuni , Happyness Malya amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Udiwani viti maalumu.
Malya amechukua fomu mapema leo Juni 30,2025 na kukabidhiwa na Katibu wa Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT) Rosemary Mwakisalu.


Comments
Post a Comment