HINDU SENYANGE AJITOSA UDIWANI VITI MAALUMU


 

Na Mwandishi wetu

MJUMBE wa Halmshauri kuu Jumuiya ya wazazi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kata ya Liwiti, Hindu Senyange amechukua fomu ya kuteuliwa kugombea nafasi ya udiwani viti maalumu Halmshauri ya Manispaa ya Dar es salaam.

Senyange amechukua fomu mapema leo Juni 30,2025 na kukabidhiwa na Katibu wa Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT) Rosemary Mwakisalu.

Comments

Popular posts from this blog

WANAFUNZI WALIOMALIZA KIDIA SEKONDARI WACHANGIA UJENZI WA KANISA SH MILLION 20

VETA YAJIPANGA KUSHIRIKINA NA TOYOTA TANZANIA KUIMARISHA MAFUNZO YA UFUNDI MAGARI

UJENZI WA BWAWA LA KUFUA UMEME LA MTO MALAGARASI , WAPIGA HATUA MPYA