MASELE MASUNGA AJITOSA JIMBO LA SEGEREA




Na Mwandishi wetu

KADA wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Masele Masunga amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge Jimbo la Segerea Kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).



Masunga amechukua fomu mapema leo Juni 30,2025 na kukabidhiwa na Katibu wa Chama cha  Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ilala, Sylvester Yeredi.







Comments

Popular posts from this blog

WANAFUNZI WALIOMALIZA KIDIA SEKONDARI WACHANGIA UJENZI WA KANISA SH MILLION 20

VETA YAJIPANGA KUSHIRIKINA NA TOYOTA TANZANIA KUIMARISHA MAFUNZO YA UFUNDI MAGARI

UJENZI WA BWAWA LA KUFUA UMEME LA MTO MALAGARASI , WAPIGA HATUA MPYA