MWIJUMA SEKE AJITOSA UBUNGE KIVULE

 


Na Mwandishi wetu

KADA wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mwinjuma Abdul Seke amechukua na kurudisha fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge Jimbo la Kivule kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)

Seke amerudisha fomu mapema  leo Juni 30,2025 na kumkabidhi Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Ilala, Sylvester Yaredi.

Comments

Popular posts from this blog

WANAFUNZI WALIOMALIZA KIDIA SEKONDARI WACHANGIA UJENZI WA KANISA SH MILLION 20

VETA YAJIPANGA KUSHIRIKINA NA TOYOTA TANZANIA KUIMARISHA MAFUNZO YA UFUNDI MAGARI

UJENZI WA BWAWA LA KUFUA UMEME LA MTO MALAGARASI , WAPIGA HATUA MPYA