RAGI SAMWEL AJITOSA UBUNGE UKONGA
Na Mwandishi wetu,
KADA wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambaye amewahi kuwa Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Kimataifa cha Kampala nchini Tanzania, Ragi Samwel amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge Jimbo la Ukonga kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).
Samwel amechukua fomu mapema leo Juni 30,2025 na kukabidhiwa na Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Ilala , Sylvester Yeredi.



Comments
Post a Comment