SIDODO AJITOSA KUGOMBEA UDIWANI VITI MAALUMU
- Get link
- X
- Other Apps
Na Mwandishi wetu
MWANACHAMA wa Jumuiya ya wanawake kata ya Ukonga Wilaya ya Ilala Magreth Gudiluck Sidodo amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Udiwani wa Viti maalumu kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM)
Sidodo amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu Umoja wa Wanawake (UWT) wilaya ya Ilala Rosemary Mwakisalu mapema leo Juni 29,2025
Magreth Sidodo amesema ameamua kuomba ridhaa ya kugombea nafasi hiyo ili kuunga mkono jitihada zinazofanywa Mwenyekiti Taifa wa Chama hicho na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea maendeleo Watanzania.
- Get link
- X
- Other Apps


Comments
Post a Comment