TUWE NA MAONO YA KUIONA KESHO YETU – DKT. BITEKO

 


Ni katika Bonanza la Wizara ya Nishati na Taasisi zake

Na Mwandishi wetu 

NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewataka Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati na Taasisi zake kuwa na maono ya kuweza kuweza kuleta hali itakayowasaidia katika utendaji wa kazi na kupata suluhisho la changamoto zinazoweza kutokea kabla ya changamoto hizo kutokea.




Dkt. Biteko ameyasema hayo leo Julai 28,2025 katika viwanja vya Jamhuri Jijini Dodoma, watumishi wa wizara na Taasisi zake wafungua Bonanza la michezo mihusisha Wizara ya Nishati na Taasisi zake.







Comments

Popular posts from this blog

WANAFUNZI WALIOMALIZA KIDIA SEKONDARI WACHANGIA UJENZI WA KANISA SH MILLION 20

VETA YAJIPANGA KUSHIRIKINA NA TOYOTA TANZANIA KUIMARISHA MAFUNZO YA UFUNDI MAGARI

UJENZI WA BWAWA LA KUFUA UMEME LA MTO MALAGARASI , WAPIGA HATUA MPYA