DAUD IKWABE AJITOSA UBUNGE JIMBO LA KIVULE




KADA wa Chama cha Mapinduzi (CCM)Daud Ikwabe amerudisha kurudisha fomu ya kuomba kuteuliwa  kugombea Ubunge Jimbo la Kivule kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM)

Ikwabe amerudisha fomu hiyo leo Julai 1,2025  kwa Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ilala Chief Sylvester Yaredi.

Amesema ameamua kugombea nafasi hiyo ili kumsaidia Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwaletea maendeleo wananchi wa Kivule.

Comments

Popular posts from this blog

WANAFUNZI WALIOMALIZA KIDIA SEKONDARI WACHANGIA UJENZI WA KANISA SH MILLION 20

VETA YAJIPANGA KUSHIRIKINA NA TOYOTA TANZANIA KUIMARISHA MAFUNZO YA UFUNDI MAGARI

UJENZI WA BWAWA LA KUFUA UMEME LA MTO MALAGARASI , WAPIGA HATUA MPYA