MFANYABIASHARA NCHAMA ARUDISHA FOMU YA KUOMBA KUTEULIWA UBUNGE KIVULE.



Na Mwandishi wetu

MTIA nia ya Ubunge Jimbo la Kivule, Chacha Nchama amerudisha fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Jimbo la Kivule kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

Nchama ambaye ni mfanyabiashara amerudisha fomu mapema leo Julai 2,2025 na kuikabidhi kwa katibu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Ilala, Sylvester Yeredi.




Comments

Popular posts from this blog

WANAFUNZI WALIOMALIZA KIDIA SEKONDARI WACHANGIA UJENZI WA KANISA SH MILLION 20

VETA YAJIPANGA KUSHIRIKINA NA TOYOTA TANZANIA KUIMARISHA MAFUNZO YA UFUNDI MAGARI

UJENZI WA BWAWA LA KUFUA UMEME LA MTO MALAGARASI , WAPIGA HATUA MPYA