SALMINI NCHIMBI AJITOSA UDIWANI KATA YA MWEMBESONGO
Na Mwandishi wetu
ALIYEWAHI kuwa Mwenyekiti Chipukizi (CCM) wilaya Ya Morogoro Mjini na Mjumbe wa Baraza Kuu (Uvccm) Taifa - Kuiwakilisha Chipukizi,Salmini Nchimbi amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea nafasi ya Udiwani katika Kata ya Mwembesongo,wilaya ya Morogoro Mjini Mkoa wa Morogoro.
Salmini ni miongoni mwa vijana waliamua kugombea nafasi hiyo katika Kata ya Mwembesongo.
Comments
Post a Comment