MGOMBEA URAIS WA CHAMA CHA MAKINI AKABIDHIWA FOMU NA INEC

 



Na Mwandishi wetu

MWENYEKITI wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi,  Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Jacobs Mwambegele leo  Agosti 10, 2025 amekabidhi fomu ya uteuzi kwa mgombea wa Kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano kutoka Chama cha Makini (MAKINI),  Coaster Jimmy Kibonde.  

Hafla hiyo imefanyika kwenye ofisi za Tume zilizopo Njedengwa Jijini Dodoma.

Kibonde aliambatana na mgombea wa Kiti cha Makamu wa Rais kwa tiketi ya Chama hicho, Azza Haji Suleiman.







Comments

Popular posts from this blog

WANAFUNZI WALIOMALIZA KIDIA SEKONDARI WACHANGIA UJENZI WA KANISA SH MILLION 20

VETA YAJIPANGA KUSHIRIKINA NA TOYOTA TANZANIA KUIMARISHA MAFUNZO YA UFUNDI MAGARI

UJENZI WA BWAWA LA KUFUA UMEME LA MTO MALAGARASI , WAPIGA HATUA MPYA