MGOMBEA URAIS WA NLD DOYO HASSAN DOYO ACHUKUA FOMU INEC




Na Mwandishi wetu

MWENYEKITI wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi,  Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Jacobs Mwambegele leo Agosti 10, 2025 amekabidhi fomu ya uteuzi kwa mgombea wa Kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano kutoka Chama cha National League for Democracy  (NLD),  Doyo Hassan Doyo.  Hafla hiyo imefanyika kwenye ofisi za Tume zilizopo Njedengwa Jijini Dodoma.

Doyo aliambatana na mgombea wa Kiti cha Makamu wa Rais kwa tiketi ya Chama hicho, Chausiku Khatib Mohamed.







Comments

Popular posts from this blog

WANAFUNZI WALIOMALIZA KIDIA SEKONDARI WACHANGIA UJENZI WA KANISA SH MILLION 20

VETA YAJIPANGA KUSHIRIKINA NA TOYOTA TANZANIA KUIMARISHA MAFUNZO YA UFUNDI MAGARI

UJENZI WA BWAWA LA KUFUA UMEME LA MTO MALAGARASI , WAPIGA HATUA MPYA