MGOMBEA URAIS WA UPDP TWALIB KADEGE ACHUKUA FOMU INEC



Na Mwandishi wetu

MWENYEKITI wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi,  Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Jacobs Mwambegele leo Agosti,10,  2025 amekabidhi fomu ya uteuzi kwa jina la Kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano kutoka Chama cha United Peoples' Democratic Party (UPDP), Twalib Ibrahim Kadege. 

Hafla hiyo imefanyika kwenye ofisi za Tume zilizopo Njedengwa Jijini Dodoma.

Kadege aliambatana na Makamu wa Rais wa tiketi ya Chama hicho, Abdalla Mohamed Khamis.








Comments

Popular posts from this blog

WANAFUNZI WALIOMALIZA KIDIA SEKONDARI WACHANGIA UJENZI WA KANISA SH MILLION 20

VETA YAJIPANGA KUSHIRIKINA NA TOYOTA TANZANIA KUIMARISHA MAFUNZO YA UFUNDI MAGARI

UJENZI WA BWAWA LA KUFUA UMEME LA MTO MALAGARASI , WAPIGA HATUA MPYA