MPINA, FATMA NA OTHMAN WAPOKELEWA UNGUJA NA MAELFU YA WANANCHI


Na Mwandishi wetu

MGOMBEA wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, pamoja na Mgombea Mwenza Fatma Ferej na Mgombea wa Urais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, wamepokelewa kwa shangwe na maelfu ya chama cha ACT Wazalendo na wananchi wa Zanzibar leo Agosti 9, 2025.

Mapokezi hayo yamefanyika upande wa Unguja ikiwa ni sehemu ya kujitambulisha kwa umma kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.






Comments

Popular posts from this blog

WANAFUNZI WALIOMALIZA KIDIA SEKONDARI WACHANGIA UJENZI WA KANISA SH MILLION 20

VETA YAJIPANGA KUSHIRIKINA NA TOYOTA TANZANIA KUIMARISHA MAFUNZO YA UFUNDI MAGARI

UJENZI WA BWAWA LA KUFUA UMEME LA MTO MALAGARASI , WAPIGA HATUA MPYA