MGOMBEA URAIS DKT. SAMIA AKIKABIDHI ILANI YA UCHAGUZI 2025 -2030 KWA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA URAMBO
Na Mwandishi wetu
MGOMBEA wa Nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Dkt. Samia Suluhu Hassan akikabidhi Ilani ya Uchaguzi kwa Mgombea Ubunge wa Chama hicho mara baada ya kuwahutubia wananchi wa Urambo katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama hicho mkoani Tabora Septemba 11, 2025.



Comments
Post a Comment