REA KIVUTIO KIKUBWA UUZAJI WA MAJIKO BANIFU KWA BEI YA RUZUKU



Banda la REA limepamba Maonesho ya Madini Geita

Majiko ya gesi ya kupikia nayo yanatolewa kwa bei ya ruzuku Geita

Na Mwandishi wetu 

WAKALA wa Nishati Vijijini (REA) inaendelea kuuza majiko banifu kwa bei ya ruzuku katika Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea katika viwanja vya Dkt. Samia Suluhu Hassan, Bombambili mkoani Geita. 

Katika maonesho ya madini, REA inauza majiko banifu kwa gharama ya shilingi 6,200 tu ambapo kabla ya ruzuku kutolewa na Serikali majiko hayo yaliuzwa kwa gharama ya shilingi 41,300.

Majiko banifu yametengenezwa kwa teknolojia ya kisasa yenye uwezo wa kufikia sumu ya mkaa (carbon monoxide) hivyo kusaidia kupona matokeo ya kiafya yatokanayo na nishati ya mkaa.



Katika mkoa wa Geita kampuni inayosambaza majiko banifu kwa bei ya ruzuku katika Geita Millenium Star Company Limited.


Comments

Popular posts from this blog

WANAFUNZI WALIOMALIZA KIDIA SEKONDARI WACHANGIA UJENZI WA KANISA SH MILLION 20

VETA YAJIPANGA KUSHIRIKINA NA TOYOTA TANZANIA KUIMARISHA MAFUNZO YA UFUNDI MAGARI

UJENZI WA BWAWA LA KUFUA UMEME LA MTO MALAGARASI , WAPIGA HATUA MPYA