CHALAMILA AUGANA NA WATANZANIA KUOMBEA AMANI TAIFA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU




 MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameshiriki katika hafla maalum ya Kongamano la Kuombea amani Taifa la Tanzania kuelekea uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Octoba 29,2025.

Kongamano hilo limefanyika Octoba 18,2025 katika ukumbi wa Starlight Jijini Dar es salaam na kuratibiwa li na Jumuiya ya kuifadhisha Quran Tanzania limelenga kuhimiza Utulivu, Umoja na Maelewano miongoni mwa watanzania katika kipindi hiki cha kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani Oktoba 29,2025







Comments

Popular posts from this blog

WANAFUNZI WALIOMALIZA KIDIA SEKONDARI WACHANGIA UJENZI WA KANISA SH MILLION 20

VETA YAJIPANGA KUSHIRIKINA NA TOYOTA TANZANIA KUIMARISHA MAFUNZO YA UFUNDI MAGARI

UJENZI WA BWAWA LA KUFUA UMEME LA MTO MALAGARASI , WAPIGA HATUA MPYA