RIADHA ILIVYOING'ARISHA NGORONGORO KAMA PREMIUM SAFARI DESTINATION KWENYE MASHINDANO YA SHIMMUTA

 


Na Mwandishi wetu

MCHEZO wa riadha umeonyesha kuwa ni muhimu zao la michezo Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kutokana na kupata mchezo huo kutoka Ngorongoro kuzoa jumla ya medali saba (07) pamoja na ushindi wa mbio za kupokezana vijiti.

Timu ya Ngorongoro ya riadha ilinogesha mashindano hayo kwa wakimbiaji wake kuonesha vipaji vya hali ya juu zaidi kudhirisha kuwa Ngorongoro ni Premium Safari Destination.



Katika salamu zake kwa wanamichezo wote wa Ngorongoro Kamishna wa Mamlaka hiyo Bwana Abdul-Razaq Badru amewapongeza kutokana na kushiriki kwenye michezo na kutangaza vivutio vya utalii vilivyopo Ngorongoro pamoja na nidhamu na uwajibikaji wakati wote wa mashindano.

Comments

Popular posts from this blog

WANAFUNZI WALIOMALIZA KIDIA SEKONDARI WACHANGIA UJENZI WA KANISA SH MILLION 20

VETA YAJIPANGA KUSHIRIKINA NA TOYOTA TANZANIA KUIMARISHA MAFUNZO YA UFUNDI MAGARI

UJENZI WA BWAWA LA KUFUA UMEME LA MTO MALAGARASI , WAPIGA HATUA MPYA