MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI ASHIRIKI KIKAO CHA WADAU WA MAHAKAMA
Na Mwandishi wetu
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali Hamza Johari ameshiriki katika kikao cha wadau wa Mahakama kilichofanyika Januari,22 2026 Jijini Dodoma.
Kikao hicho kilichoongozwa na Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania George Masaju kililenga katika kujadiliana juu ya uboreshaji wa utoaji wa huduma za Mahakama na Sekta ya Sheria kwa ujumla.


Comments
Post a Comment