RIBA YA BENKI KUU YAENDELEA KUBAKI ASILIMIA 5.75
Na Mwandishi wetu
Kamati ya Sera ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeamua kuendelea na kiwango cha Riba ya Benki Kuu (Central Bank Rate – CBR) cha asilimia 5.75 kwa robo ya kwanza ya mwaka wa 2026, kiwango ambacho kilitumika pia katika robo ya mwaka wa 2025.
Uamuzi huo umetangazwa Januari 8, 2026 na Gavana wa BoT na Mwenyekiti wa Kamati ya Sera ya Fedha, Emmanuel Tutuba, mkutano na viongozi wa benki, taasisi za fedha pamoja na waziri wa habari.
“Uamuzi huu umezingatia matarajio ya mfumuko kuendelea kubaki ndani ya lengo la asilimia 3 hadi 5. Kuendelea kubakiza kiwango cha CBR kama kilivyokuwa katika robo ya mwaka wa 2025, kuwekeza katika shughuli za kiuchumi na kuwezesha uchumi wa taifa kukua kwa kiwango cha kuridhisha,” alisema.
Alifafanua kuwa kiwango cha Riba cha Benki Kuu ni kiwango kinachowekwa na BoT kama rejea katika utekelezaji wa shughuli zake mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kukopesha benki za biashara. Kiwango hiki huathiri riba za mikopo baina ya benki za biashara, ambazo zinapaswa kuwa ndani ya wigo wa ±2.0% ya riba ya Benki Kuu fedha.
Kuhusu mwenendo wa uchumi wa ndani, Gavana Tutuba alisema uchumi wa Tanzania Bara uliendelea kukua kwa kasi ya kuridhisha ya jumla ya mwaka 5.9 2025, mapato ya asilimia 6. Ukuaji huo ulichangiwa zaidi na shughuli za kilimo, madini na ujenzi.
Kwa upande wa Zanzibar, alisema uchumi unakadiriwa kwa asilimia 6.8 mwaka 2026, ukichangiwa zaidi na ujenzi wa ujenzi, utalii na viwanda.
Katika hatua nyingine, Gavana Tutuba aliwapongeza wadau wa sekta ya fedha kwa fedha zao zilizopelekea mikopo mikopo hadi nilipofikiria asilimia 3.1, kiwango cha ukomo unaovumilika chini asilimia 5.
Akizugumza kwa niaba ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Mabenki nchini, Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Standard Chartered, Herman Kasekende, aliipongeza Benki Kuu ya Tanzania kwa thabiti wa sekta ya fedha na uchumi kwa ujumla.
Alisema matumizi huo umechangia kuimarika katika sekta ya kibenki, data datako wa bei, thamani thamani ya shilingi ya Tanzania dhidi ya fedha za kigeni, pamoja na kuwepo kwa akiba ya fedha za fedha za kigeni.



Comments
Post a Comment