JUAKITA DAR YATOA SADAKA KWA YATIMA NA WAHITAJI
Na Mwandishi wetu
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Akinamama wa kiislamu Tanzania (Juakita) Mkoa wa Dar es salaam Bi Mariam Mtambo akiwa ameuonyesha nguvu ya kipekee ya akinamama walipowawezesha utoaji wa sadaka kwa watoto yatima, wajane, Wazee na wenye uhitaji zaidi ya watu 25000 walihudhulia katika hafla hiyo huku vituo vya watoto yatima zaidi ya 14 vilinufaika kwa kupatiwa nguo za sikukuu, vyakula na pesa Taslimu imekuwa kawaida kwa Juakita mkoa wa Dar es salaam kutembelea Makundi haya kwa utoaji wa saddaka





Comments
Post a Comment