DOROTHY SEMU KUONGOZA TCD
Na Mwandishi wetu
KIONGOZI wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Dorothy Semu leo 17 Aprili 17, 2026 amekabidhiwa rasmi nafasi ya Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD).
Katika uongozi huo, Makamu Mwenyekiti kwa sasa ni Stephen Wasira, aliyeteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambacho kwa mujibu wa katiba ya kituo wanapaswa kuchukua nafasi ya Makamu mwenyekiti.
Mabadiliko haya yamekuja kufuatia kumalizika kwa muda wa uongozi uliokuwa ukishikiliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).




Comments
Post a Comment