RAIS RUTO KULIHUTUBIA BUNGE LA TANZANA MEI 5
RAIS wa Jamhuri ya Kenya Wiliam Ruto, anatarajiwa kuja Tanzania na kulihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mei 5, 2026 siku ya Jumanne Bungeni Jijini Dodoma.
Hayo yamesemwa leo Aprili 29, 2026 Bungeni na Naibu Spika Daniel Baran Sillo akitoa taarifa hiyo kwa Wabunge wa Tanzania kuhusu ujio wa ugeni wa Rais wa Jamhuri ya Kenya.

Comments
Post a Comment