WASIRA AKONGA NYOYO ZA WANANCHI KIGOMA MJINI
Na Mwandishi wetu
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amewahutubia na kukonga nyoyo za mamia ya wana CCM na wananchi wa Kigoma mjini huku akiwataka kudumisha amani, umoja na mshikamano.
Wasira amewahutubia wananchi hao leo Mei 16, 2026 katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Kawawa uliopo Kigoma mjini akiwa katika siku ya mwisho ya ziara yake ya siku tatu mkoani humo.



Comments
Post a Comment